Advertisement

Vijana acheni uvivu: Munishi Faustin warns against renditions of his hit song Malebo

03:17 PM
Vijana acheni uvivu: Munishi Faustin warns against renditions of his hit song Malebo

Legendary gospel singer and pastor Munishi Faustin has urged young people to stop redoing or recreating songs by other artists without permission, saying the practice amounts to music theft.

Speaking about his popular song Malebo, which he released more than two decades ago, Munishi said some youths have been taking his music and reusing it in different forms without his consent.

“Hujambo, nimekuja hapa kuongea kuhusu wimbo huu wa malebo, nilipoimba miaka zaidi ishirini iliyopita, kwa hivyo vijana nyinyi mnao iba nyimbo zangu, hiyo sio kuimba yani mnachukua ujambazi kwa kuchukua nyimbo zangu na kuzipeleka AI,” Munishi said.

The veteran singer added that he has never asked people to promote his old songs using modern reinterpretations, insisting that his original works should remain as they are.

Mimi sijawaomba mpeleke nyimbo zangi AI, kama nitatumia AI nitaweka kwenye nyimbo zangu mpya lakini zile za zamani ambazo nilitumia OI, yani original intelligence, wacheni zikae hivyo hivyo,” he said.

Gospel singer Munishi Faustin. PHOTO/https://www.facebook.com/munishi.munishi.5
Gospel singer Munishi Faustin. PHOTO/https://www.facebook.com/munishi.munishi.5

Munishi on Malebo’s promotion

He also responded to claims by some youths who argue that their renditions help promote his music, saying Malebo had already built its own audience long ago.

Vijana wengine wanahoji kwamba mzee tunakusaidia kumarket nyimbo yako, nyimbo imejimarket yenyewe, nimeiweka YouTube miaka kumi na nne iliyo pita kwa hivyo imejitengenezea jina yenyewe,” Munishi said.

Munishi further dismissed claims by some young performers who consider themselves celebrities and believe they are boosting his song’s popularity.

“Wengine wanao imba hiyo wimbo wanasema mzee sisi ni maceleb, huwezi kuwa celeb ukanipita mimi.Manake ukisema huo wimbo ni wewe unataka ku imarket na ku advertise tayari una views millioni kumi pale YouTube na si wewe ulifanya promotion,” he noted.

He also advised young people to focus on creating their own original music instead of relying on existing works.

Kama nyinyi mnajifanya mnajua mambo ya marketing na kupromote wimbo imbeni nyimbo mpya zenu, mtunge nyimbo zenu nyinyi wenyewe na mufanyie promotion zi trend ndio tujuwe nyinyi vijana mnatumia akili zenu, msiwe wavivu wa kubuni na mkataka kuiba kitu ambacho kimesha jitengenezea jina yenyewe,” he advised.

Vijana Acheni Uvivu wa Kubuni Tungeni Nyimbo zenu.”

Gospel singer Munishi Faustin. PHOTO/https://www.facebook.com/munishi.munishi.5
Gospel singer Munishi Faustin. PHOTO/https://www.facebook.com/munishi.munishi.5

Malebo’s rendition

Additionally, he said that, in African culture, there should have been respect before such actions were taken. He said the youths should have reached out to him so that they could agree before using his work.

He added that instead, they showed boldness by taking his song and sending it to AI, then going to the studio to create their own version without meeting him or seeking his permission.

Munishi said that it is theft to take someone else’s song, make a video for it, and upload it on YouTube in order to earn money from it. He insisted that such actions amount to stealing and urged the youths to stop what he described as music theft.

Alafu pia kiafrica mungefanya heshima kidogo kabla mfanye hiyo mliofanya; mungenitafuta tukubaliane lakini mlikuwa na ujasiri wakuchukua wimbo wa mtu mnaipeleka AI alafu mnaingia studio kufanya version yako bila kumwona mwenyewe na kupata kibali.

Huwa ni uwizi kuchukua wimbo wa mwenyewe na kuifanyia video na kuiweka YouTube iliwewe uanze kulipwa huo ni uwizi kwa hivyo muwache huo uwizi vijana

Author

Valerian Khakayi

V.K.

View all posts by Valerian Khakayi

Just In